-
2 Wafalme 17:22, 23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
22 Na Waisraeli wakaendelea kufuata dhambi zote ambazo Yeroboamu alitenda.+ Hawakuziacha 23 mpaka Yehova alipowaondoa Waisraeli kutoka mbele zake, kama alivyokuwa amesema kupitia watumishi wake wote manabii.+ Kwa hiyo Waisraeli wakaondolewa katika nchi yao na kupelekwa uhamishoni kule Ashuru,+ nao wangali huko hadi leo.
-
-
Isaya 10:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Je, sitaitendea pia Yerusalemu na sanamu zake
Kama vile nilivyoitendea Samaria na miungu yake ya ubatili?’+
-