1 Samweli 2:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Yehova huua, naye huhifadhi uhai;*Hushusha Kaburini,* naye hufufua.+ Ayubu 33:28 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 28 Ameikomboa nafsi yangu isiingie* shimoni,*+Na uhai wangu utaona nuru.’ Zaburi 71:20 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 20 Ingawa umenifanya nipate taabu nyingi na misiba mingi,+Nihuishe tena;Niinue kutoka katika sehemu zenye kina za* dunia.+
20 Ingawa umenifanya nipate taabu nyingi na misiba mingi,+Nihuishe tena;Niinue kutoka katika sehemu zenye kina za* dunia.+