-
Yeremia 34:2, 3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Nenda uzungumze na Mfalme Sedekia+ wa Yuda nawe umwambie hivi: “Yehova anasema, ‘Ninalitia jiji hili mikononi mwa mfalme wa Babiloni, naye ataliteketeza kwa moto.+ 3 Nawe hutaponyoka kutoka mikononi mwake, kwa maana kwa hakika utakamatwa na kutiwa mikononi mwake.+ Nawe utamwona Mfalme wa Babiloni jicho kwa jicho, naye atazungumza nawe uso kwa uso, nawe utapelekwa Babiloni.’+
-
-
Yeremia 37:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Na Wakaldayo watarudi tena na kulishambulia jiji hili na kuliteka na kuliteketeza kwa moto.”+
-