Mambo ya Walawi 26:33 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+ Yeremia 44:2 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 2 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Mmeona msiba wote nilioleta dhidi ya Yerusalemu+ na dhidi ya majiji yote ya Yuda, na leo yamebaki magofu, bila mkaaji.+
33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+
2 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Mmeona msiba wote nilioleta dhidi ya Yerusalemu+ na dhidi ya majiji yote ya Yuda, na leo yamebaki magofu, bila mkaaji.+