Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:15
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 “Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu kwa kuwa waangalifu kutenda amri zake zote na sheria zake ninazowaamuru leo, laana hizi zote zitawajia na kuwatangulia:+

  • Kumbukumbu la Torati 29:26, 27
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 26 Lakini walienda na kuabudu miungu mingine na kuiinamia, miungu ambayo hawakuwa wameijua na ambayo hakuwaruhusu waiabudu.*+ 27 Ndipo hasira kali ya Yehova ikawaka dhidi ya nchi hiyo, naye akailetea nchi hiyo laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki.+

  • Yoshua 23:15, 16
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 Lakini kama zilivyotimia ahadi zote nzuri alizowaahidi Yehova Mungu wenu,+ vivyo hivyo Yehova atawaletea misiba yote aliyoahidi* na kuwaangamiza kutoka katika nchi hii nzuri ambayo Yehova Mungu wenu amewapa.+ 16 Mkivunja agano la Yehova Mungu wenu alilowaamuru mshike na mkienda kuabudu miungu mingine na kuiinamia, hasira ya Yehova itawaka dhidi yenu+ nanyi mtaangamia haraka kutoka katika nchi nzuri ambayo amewapa.”+

  • 2 Wafalme 23:27
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 27 Yehova akasema: “Nitaliondoa Yuda pia mbele za macho yangu,+ kama nilivyoliondoa Israeli;+ nami nitalikataa jiji hili nililochagua, Yerusalemu, na nyumba ambayo nilisema hivi kuihusu: ‘Jina langu litaendelea kukaa humo.’”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki