2 Wafalme 25:25 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 25 Na katika mwezi wa saba, Ishmaeli+ mwana wa Nethania mwana wa Elishama, aliyekuwa wa uzao wa kifalme,* akaja na wanaume wengine kumi, nao wakampiga na kumuua Gedalia pamoja na Wayahudi na Wakaldayo waliokuwa pamoja naye huko Mispa.+
25 Na katika mwezi wa saba, Ishmaeli+ mwana wa Nethania mwana wa Elishama, aliyekuwa wa uzao wa kifalme,* akaja na wanaume wengine kumi, nao wakampiga na kumuua Gedalia pamoja na Wayahudi na Wakaldayo waliokuwa pamoja naye huko Mispa.+