Kumbukumbu la Torati 32:36 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake,+Naye atawahurumia* watumishi wake+Atakapoona nguvu zao zimeisha,Na kwamba waliobaki ni wasio na uwezo na walio dhaifu peke yao. Yeremia 18:7, 8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Wakati wowote nitakaposema kuhusu kung’oa na kubomoa na kuharibu taifa au ufalme,+ 8 na taifa hilo liache uovu wake niliotangaza dhidi yake, mimi pia nitabadili nia yangu* kuhusu msiba niliokusudia kuuleta dhidi yake.+ Mika 7:18 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake,+Naye atawahurumia* watumishi wake+Atakapoona nguvu zao zimeisha,Na kwamba waliobaki ni wasio na uwezo na walio dhaifu peke yao.
7 Wakati wowote nitakaposema kuhusu kung’oa na kubomoa na kuharibu taifa au ufalme,+ 8 na taifa hilo liache uovu wake niliotangaza dhidi yake, mimi pia nitabadili nia yangu* kuhusu msiba niliokusudia kuuleta dhidi yake.+