-
Isaya 5:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Sasa, tafadhali, acheni niwaambie
Kile nitakacholifanyia shamba langu la mizabibu:
Nitaondoa uzio wake,
Nalo litateketezwa kabisa.+
Nitaubomoa ukuta wake wa mawe,
Nalo litakanyagwa-kanyagwa.
-
-
Yeremia 1:10Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 Tazama, nimekutuma leo hii ili uwe juu ya mataifa na juu ya falme, ili kung’oa na kubomoa, ili kuangamiza na kuangusha, ili kujenga na kupanda.”+
-