-
Yeremia 25:17Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+
-
-
Ezekieli 25:15, 16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ya chuki yao isiyo na mwisho, Wafilisti wamejaribu kwa nia ovu* kulipiza kisasi na kuleta maangamizi.+ 16 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ninaunyoosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti,+ nami nitawakatilia mbali Wakerethi+ na kuwaangamiza wakaaji wanaobaki wa pwani ya bahari.+
-
-
Amosi 1:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Yehova anasema hivi:
-
-
Sefania 2:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Kwa maana Gaza litakuwa jiji lililoachwa mahame;
Na Ashkeloni litafanywa ukiwa.+
-