-
Hesabu 21:32Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
32 Kisha Musa akawatuma watu fulani wakapeleleze Yazeri.+ Wakateka miji yake na kuwafukuza Waamori waliokuwa humo.
-
-
Yoshua 21:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+
-