-
Obadia 2-4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 “Tazama! Nimekufanya uwe mdogo sana kati ya mataifa;
Unadharauliwa kabisa.+
3 Kimbelembele cha moyo wako kimekudanganya,+
Wewe unayeishi katika mapango ya mwamba,
Unayekaa juu, ukisema moyoni mwako,
‘Ni nani atakayenishusha chini duniani?’
4 Hata ukijenga makao yako juu* kama tai,
Au ukiweka kiota chako kati ya nyota,
Nitakushusha chini kutoka huko,” asema Yehova.
-