-
Isaya 34:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Yehova ana upanga; utafunikwa kwa damu.
Kwa maana Yehova ana dhabihu kule Bosra,
Machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.+
-
-
Isaya 34:10Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 Haitazimwa usiku wala mchana;
Moshi wake utaendelea kupaa milele.
Itabaki ukiwa kizazi baada ya kizazi;
Hakuna yeyote atakayepita katikati yake milele na milele.+
-