Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:22
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu,+ Asihuru,+ Arpakshadi,+ Ludi, na Aramu.+

  • Isaya 21:2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  2 Nimeambiwa maono ya kutisha:

      Mwenye hila anatenda kwa hila,

      Na mwangamizaji, anaangamiza.

      Nenda juu, ewe Elamu! Zingira, ewe Umedi!+

      Nitakomesha kilio chote cha uchungu alichosababisha.+

  • Yeremia 25:17
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+

  • Yeremia 25:25
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 25 wafalme wote wa Zimri, wafalme wote wa Elamu,+ na wafalme wote wa Wamedi;+

  • Ezekieli 32:24
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 24 “‘Elamu+ yuko huko pamoja na umati wake wote kulizunguka kaburi lake, wote wakiwa wameuawa kwa upanga. Wameshuka chini bila kutahiriwa katika nchi iliyo chini, wale waliosababisha hofu katika nchi ya walio hai. Sasa watabeba aibu yao pamoja na wale wanaoshuka chini shimoni.*

  • Danieli 8:2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 2 Niliona maono hayo, na nilipokuwa nikiyaona nilikuwa katika ngome ya* Shushani,*+ iliyo katika mkoa wa* Elamu;+ niliona maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa maji wa Ulai.

  • Matendo 2:8, 9
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 8 Inakuwaje kwamba kila mmoja wetu anasikia lugha yake ya asili?* 9 Waparthi, Wamedi,+ na Waelami,+ wakaaji wa Mesopotamia, Yudea na Kapadokia, Ponto na mkoa wa Asia,+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki