-
Yeremia 23:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 “Ole wao wachungaji wanaowaangamiza na kuwatawanya kondoo wa malisho yangu!” asema Yehova.+
-
-
Ezekieli 34:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Kwa hiyo walitawanyika kwa sababu hakukuwa na mchungaji;+ walitawanyika na kuwa chakula cha kila mnyama wa mwituni.
-