Isaya 13:20, 21 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Yeremia 51:37 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 37 Na Babiloni atakuwa marundo ya mawe,+Pango la mbwamwitu,+Kitu cha kutisha na kitu cha kupigiwa mluzi,Bila mkaaji.+ Ufunuo 18:2 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 2 Naye akasema kwa sauti yenye nguvu: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila roho mchafu* na kila ndege mchafu anayechukiwa!+
37 Na Babiloni atakuwa marundo ya mawe,+Pango la mbwamwitu,+Kitu cha kutisha na kitu cha kupigiwa mluzi,Bila mkaaji.+
2 Naye akasema kwa sauti yenye nguvu: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila roho mchafu* na kila ndege mchafu anayechukiwa!+