Isaya 44:27 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Yeremia 50:38 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 38 Kuna uharibifu dhidi ya maji yake, nayo yatakaushwa.+ Kwa maana ni nchi ya sanamu za kuchongwa,+Na kwa sababu ya maono yao yanayotisha wanaendelea kutenda kiwazimu. Ufunuo 16:12 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 12 Malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa Efrati,+ na maji yake yakakauka+ ili kutayarisha njia kwa ajili ya wafalme+ wanaotoka mashariki.*
38 Kuna uharibifu dhidi ya maji yake, nayo yatakaushwa.+ Kwa maana ni nchi ya sanamu za kuchongwa,+Na kwa sababu ya maono yao yanayotisha wanaendelea kutenda kiwazimu.
12 Malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa Efrati,+ na maji yake yakakauka+ ili kutayarisha njia kwa ajili ya wafalme+ wanaotoka mashariki.*