Yeremia 50:34 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 34 Lakini Mkombozi wao ana nguvu.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka atatetea kesi yao,+Ili kuipumzisha nchi+Na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+
34 Lakini Mkombozi wao ana nguvu.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka atatetea kesi yao,+Ili kuipumzisha nchi+Na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+