-
2 Mambo ya Nyakati 24:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 Na mara tu walipomaliza, walimletea mfalme na Yehoyada pesa zilizobaki, nao wakazitumia kutengeneza vyombo vya nyumba ya Yehova, vyombo vya huduma na vya kutolea dhabihu na vikombe na vyombo vya dhahabu na vya fedha.+ Nao walitoa kwa ukawaida dhabihu za kuteketezwa + katika nyumba ya Yehova sikuzote za Yehoyada.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 36:18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
18 Alipeleka kila kitu Babiloni, vyombo vyote vya nyumba ya Mungu wa kweli, vikubwa na vidogo, na pia hazina za nyumba ya Yehova na hazina za mfalme na wakuu wake.+
-