-
Yeremia 21:1, 2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Yeremia alipokea neno kutoka kwa Yehova wakati Mfalme Sedekia+ alipomtuma kwake Pashuri+ mwana wa Malkiya na Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, akiomba hivi: 2 “Tafadhali mwombe Yehova ushauri kwa ajili yetu, kwa sababu Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni anapigana vita dhidi yetu.+ Labda Yehova atatutendea mojawapo ya matendo yake yanayostaajabisha, ili mfalme huyo atuache na kwenda zake.”+
-
-
Yeremia 29:25Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
25 ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Kwa sababu ulituma barua katika jina lako kwa watu wote walio Yerusalemu, kwa Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, na kwa makuhani wote, ukisema,
-