Yeremia 32:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 32 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova katika mwaka wa 10 wa utawala wa Mfalme Sedekia wa Yuda, yaani, mwaka wa 18 wa utawala wa Nebukadneza.*+
32 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova katika mwaka wa 10 wa utawala wa Mfalme Sedekia wa Yuda, yaani, mwaka wa 18 wa utawala wa Nebukadneza.*+