-
Yeremia 23:15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Kwa hiyo Yehova wa majeshi anasema hivi dhidi ya manabii hao:
“Tazama, ninawafanya wale pakanga
Na kuwapa maji yenye sumu wanywe.+
Kwa maana kutoka kwa manabii wa Yerusalemu uasi imani umeenea katika nchi yote.”
-
-
Ezekieli 13:9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 Mkono wangu uko dhidi ya manabii ambao maono yao ni ya uwongo na wanaotabiri uwongo.+ Nao hawatakuwa miongoni mwa watu ninaowaambia siri zangu; wala hawataandikwa katika orodha ya watu wa nyumba ya Israeli; wala hawatarudi katika nchi ya Israeli; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+
-