-
Yeremia 8:18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
18 Huzuni yangu haiwezi kuponywa;
Moyo wangu ni mgonjwa.
-
-
Yeremia 8:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
Nimepatwa na mshtuko.
-
-
Yeremia 9:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 Laiti kichwa changu kingekuwa maji,
Na macho yangu chemchemi ya machozi!+
Ndipo ningelia usiku na mchana
Kwa ajili ya watu wangu waliouawa.
-