-
Yeremia 7:33Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
33 Na maiti za watu hawa zitakuwa chakula cha ndege wa angani na cha wanyama wa duniani, na hakuna mtu atakayewafukuza.+
-
-
Yeremia 9:22Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
22 Sema, ‘Yehova anasema hivi:
“Maiti za watu zitaanguka kama mbolea juu ya ardhi shambani,
Kama safu ya miganda ya nafaka iliyotoka kukatwa na mvunaji,
Bila mtu wa kuikusanya.”’”+
-