-
Yeremia 23:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Sikuwatuma manabii, lakini walikimbia.
Sikuongea nao, lakini walitabiri.+
-
-
Ezekieli 13:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 “Wameona maono ya uwongo na kutabiri uwongo, wale wanaosema, ‘Neno la Yehova ni,’ wakati ambapo Yehova mwenyewe hajawatuma, nao wamengoja neno lao litimie.+
-