Yeremia 5:31 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 31 Manabii wanatabiri uwongo,+Nao makuhani wanakandamiza kwa mamlaka yao wenyewe. Na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo.+ Lakini mtafanya nini mwisho ukifika?” Yeremia 14:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatabiri uwongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kuzungumza nao.+ Wanawatabiria ninyi maono ya uwongo na uaguzi* usiofaa kitu na udanganyifu wa moyo wao wenyewe.+ Mika 3:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+ Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema: “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+ Sefania 3:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Manabii wake ni wakaidi, wanaume wenye hila.+ Makuhani wake wanachafua kilicho kitakatifu;+Wanaitendea sheria kikatili.+
31 Manabii wanatabiri uwongo,+Nao makuhani wanakandamiza kwa mamlaka yao wenyewe. Na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo.+ Lakini mtafanya nini mwisho ukifika?”
14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatabiri uwongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kuzungumza nao.+ Wanawatabiria ninyi maono ya uwongo na uaguzi* usiofaa kitu na udanganyifu wa moyo wao wenyewe.+
11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+ Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema: “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+
4 Manabii wake ni wakaidi, wanaume wenye hila.+ Makuhani wake wanachafua kilicho kitakatifu;+Wanaitendea sheria kikatili.+