21 naam, nilipokuwa bado nikisali, mwanamume Gabrieli,+ niliyekuwa nimemwona awali katika maono,+ alinijia nilipokuwa nimechoka kwelikweli karibu wakati ambao zawadi ya jioni hutolewa.
26 Katika mwezi wake wa sita, malaika Gabrieli+ akatumwa na Mungu aende katika jiji la Nazareti huko Galilaya, 27 kwa bikira+ aliyeitwa Maria,+ mchumba wa mwanamume aliyeitwa Yosefu wa nyumba ya Daudi.