-
1 Samweli 1:10, 11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 Hana alikuwa na uchungu mwingi sana,* akaanza kusali kwa Yehova+ na kulia sana. 11 Naye akaweka nadhiri hii: “Ee Yehova wa majeshi, ikiwa utayaona mateso yangu mimi mtumishi wako na kunikumbuka na usiponisahau mimi mtumishi wako, nawe unipe mtoto wa kiume,+ nitamtoa awe wa Yehova sikuzote za maisha yake, na hakuna wembe utakaogusa kichwa chake.”+
-