Isaya 7:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Kwa hiyo Yehova mwenyewe atawapa ishara: Tazama! Mwanamke kijana* atapata mimba naye atazaa mwana,+ na kumwita jina Imanueli.*+ Mathayo 1:24, 25 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 24 Ndipo Yosefu akaamka kutoka usingizini na kufanya kama alivyoambiwa na malaika wa Yehova,* akampeleka mke wake nyumbani. 25 Lakini hakufanya ngono naye mpaka alipozaa mwana,+ kisha Yosefu akamwita jina Yesu.+
14 Kwa hiyo Yehova mwenyewe atawapa ishara: Tazama! Mwanamke kijana* atapata mimba naye atazaa mwana,+ na kumwita jina Imanueli.*+
24 Ndipo Yosefu akaamka kutoka usingizini na kufanya kama alivyoambiwa na malaika wa Yehova,* akampeleka mke wake nyumbani. 25 Lakini hakufanya ngono naye mpaka alipozaa mwana,+ kisha Yosefu akamwita jina Yesu.+