30 Kwa kweli, Yesu alifanya pia miujiza mingine mingi mbele ya wanafunzi, ambayo haijaandikwa katika kitabu hiki cha kukunjwa.+ 31 Lakini mambo haya yameandikwa ili mwamini kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu, na kwa sababu ya kuamini, mpate uzima kupitia jina lake.+