Zaburi 111:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Amewakomboa watu wake.+ צ [Tsade] Aliamuru kwamba agano lake linapaswa kudumu milele. ק [Qoph] Jina lake ni takatifu na linaogopesha.+ Luka 7:16 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 16 Basi wote wakaogopa, wakaanza kumtukuza Mungu wakisema: “Nabii mkuu ameinuliwa kati yetu,”+ na, “Mungu amewakumbuka watu wake.”+
9 Amewakomboa watu wake.+ צ [Tsade] Aliamuru kwamba agano lake linapaswa kudumu milele. ק [Qoph] Jina lake ni takatifu na linaogopesha.+
16 Basi wote wakaogopa, wakaanza kumtukuza Mungu wakisema: “Nabii mkuu ameinuliwa kati yetu,”+ na, “Mungu amewakumbuka watu wake.”+