-
1 Mambo ya Nyakati 24:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 Huo ndio uliokuwa mpangilio wao wa utumishi+ walipokuwa wakiingia katika nyumba ya Yehova kulingana na utaratibu uliowekwa na Haruni babu yao, kama Yehova Mungu wa Israeli alivyokuwa amemwamuru.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 8:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 Pia, alipanga vikundi vya makuhani+ kwa ajili ya utumishi wao kulingana na sheria ya Daudi baba yake, na Walawi katika vituo vyao vya kazi, ili watoe sifa+ na kuhudumu mbele ya makuhani kulingana na utaratibu wa kila siku, na walinzi wa malango katika vikundi vyao kwenye malango mbalimbali,+ kwa maana hivyo ndivyo alivyoamuru Daudi, mtu wa Mungu wa kweli.
-