Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:15
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 Nguvu zangu zimekauka kama kigae;+

      Ulimi wangu unashikamana na fizi zangu;+

      Unanishusha chini kwenye mavumbi ya kifo.+

  • Isaya 53:8
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  8 Kwa sababu ya kizuizi* na hukumu alichukuliwa;

      Na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?*

      Kwa maana aliondolewa katika nchi ya walio hai;+

      Alipata pigo* kwa sababu ya makosa ya watu wangu.+

  • Isaya 53:12
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,

      Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,

      Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+

      Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+

      Aliibeba dhambi ya watu wengi,+

      Naye aliwatetea wakosaji.+

  • Danieli 9:26
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 26 “Na baada ya hayo majuma 62, Masihi atauawa,*+ hatabaki na chochote.+

      “Na watu wa kiongozi anayekuja wataliharibu jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+

  • 1 Petro 2:24
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 24 Yeye mwenyewe alichukua dhambi zetu+ katika mwili wake mwenyewe juu ya mti,+ ili tufe kuhusiana* na dhambi na tuishi kuhusiana na uadilifu. Na “kwa vidonda vyake mliponywa.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki