-
Yohana 20:26Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
26 Basi, siku nane baadaye wanafunzi wake walikuwa tena ndani ya nyumba, na Tomasi alikuwa pamoja nao. Yesu akaja, ingawa milango ilikuwa imefungwa, naye akasimama katikati yao na kusema: “Na muwe na amani.”+
-