-
2 Wakorintho 12:20Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
20 Kwa maana ninaogopa kwamba huenda nitakapofika, sitawakuta mkiwa kama ninavyotaka nami sitakuwa kama mnavyotaka, badala yake, huenda kuna mizozo, wivu, milipuko ya hasira, migawanyiko, masengenyo, minong’ono,* kujivuna kwa kiburi, na machafuko.
-