Mambo ya Walawi 16:34 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 34 Hiyo itakuwa sheria ya kudumu kwa ajili yenu+ ili dhabihu ya kufunika dhambi itolewe kwa ajili ya Waisraeli ili kufunika dhambi zao zote mara moja kila mwaka.”+ Basi Haruni akafanya kama Yehova alivyomwamuru Musa.
34 Hiyo itakuwa sheria ya kudumu kwa ajili yenu+ ili dhabihu ya kufunika dhambi itolewe kwa ajili ya Waisraeli ili kufunika dhambi zao zote mara moja kila mwaka.”+ Basi Haruni akafanya kama Yehova alivyomwamuru Musa.