Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 48:15, 16
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 Kisha akambariki Yosefu na kusema:+

      “Mungu wa kweli ambaye baba zangu Isaka na Abrahamu walitembea mbele zake,+

      Mungu wa kweli ambaye amekuwa akinichunga maisha yangu yote mpaka leo,+

      16 Malaika ambaye amekuwa akiniponya katika misiba yote,+ awabariki wavulana hawa.+

      Na waitwe kwa jina langu na jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka,

      Acha waongezeke na kuwa umati mkubwa duniani.”+

  • Mwanzo 48:20
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 20 Basi akaendelea kuwabariki siku hiyo,+ akisema:

      “Waisraeli na walitaje jina lenu wanapotangaza baraka, wakisema,

      ‘Mungu na awafanye muwe kama Efraimu na kama Manase.’”

      Hivyo akaendelea kumtanguliza Efraimu mbele ya Manase.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki