-
Mathayo 12:36, 37Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
36 Ninawaambia kwamba katika Siku ya Hukumu watu watatoa hesabu+ kuhusu kila neno lisilofaa wanalosema; 37 kwa maneno yako utatangazwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa.”
-