-
Mathayo 15:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Mtu hachafuliwi na kile kinachoingia kinywani mwake, bali huchafuliwa na kile kinachotoka kinywani mwake.”+
-
-
Mathayo 15:18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
18 Hata hivyo, mambo yanayotoka kinywani hutoka moyoni, nayo ndiyo yanayomchafua mtu.+
-
-
Marko 7:23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 Mambo hayo yote maovu hutoka ndani, nayo humchafua mtu.”
-