-
1 Wakorintho 2:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 Lakini mtu wa kimwili hayakubali* mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua, kwa sababu yanachunguzwa kiroho.
-
-
Wafilipi 3:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 Mwisho wao ni uharibifu, na mungu wao ni tumbo lao, na utukufu wao kwa kweli ni aibu yao, na akili zao zinafikiria vitu vya duniani.+
-