Matendo 26:23 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 23 kwamba Kristo atateseka+ na akiwa wa kwanza kufufuliwa kutoka kwa wafu,+ atawatangazia nuru watu hawa na pia mataifa.”+ Wakolosai 1:18 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 18 naye ndiye kichwa cha mwili, kutaniko.+ Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,+ ili awe wa kwanza katika mambo yote; Ufunuo 1:5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Mwaminifu,”+ “mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mtawala wa wafalme wa dunia.”+ Yeye anayetupenda+ na aliyetuweka huru kutoka katika dhambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+—
23 kwamba Kristo atateseka+ na akiwa wa kwanza kufufuliwa kutoka kwa wafu,+ atawatangazia nuru watu hawa na pia mataifa.”+
18 naye ndiye kichwa cha mwili, kutaniko.+ Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,+ ili awe wa kwanza katika mambo yote;
5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Mwaminifu,”+ “mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mtawala wa wafalme wa dunia.”+ Yeye anayetupenda+ na aliyetuweka huru kutoka katika dhambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+—