Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 6:4
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 4 bali katika kila njia tunajipendekeza kuwa wahudumu wa Mungu,+ kwa kuvumilia mengi, kwa dhiki, kwa nyakati za uhitaji, kwa shida,+

  • 2 Wakorintho 6:10
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 10 kama walio na huzuni lakini wanaoshangilia sikuzote, kama maskini lakini wanaowatajirisha wengi, kama wasio na kitu chochote na bado walio na vitu vyote.+

  • 1 Timotheo 6:18, 19
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 18 Waambie watende mema, wawe matajiri katika matendo mazuri, wawe wakarimu, tayari kushiriki vitu na wengine,+ 19 wakijiwekea salama hazina ya msingi mzuri kwa ajili ya wakati ujao,+ ili waushike imara uzima ulio wa kweli.+

  • Yakobo 2:5
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 5 Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa. Je, Mungu hakuwachagua walio maskini kwa maoni ya ulimwengu ili wawe matajiri katika imani+ na warithi wa Ufalme, aliowaahidi wale wanaompenda?+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki