6 Mwenye furaha na mtakatifu ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza;+ kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka 1,000.+
8 Lakini kuhusu waoga na wale wasio na imani+ na wale wenye kuchukiza katika uchafu wao na wauaji+ na waasherati*+ na wale wanaozoea kuwasiliana na roho na wanaoabudu sanamu na waongo wote,+ fungu lao litakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto na kiberiti.+ Hili linamaanisha kifo cha pili.”+