Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yoshua—Yaliyomo

      • Kugawanywa kwa maeneo magharibi mwa Yordani (1-5)

      • Kalebu arithi Hebroni (6-15)

Yoshua 14:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

Marejeo

  • +Hes 34:17; Yos 19:51

Yoshua 14:2

Marejeo

  • +Hes 26:55; 33:54; Met 16:33; Mdo 13:19
  • +Hes 34:13

Yoshua 14:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, upande wa mashariki wa.

Marejeo

  • +Hes 32:29
  • +Kum 10:9; Yos 13:14

Yoshua 14:4

Marejeo

  • +Mwa 48:5; 1Nya 5:2
  • +Mwa 48:19, 20
  • +Hes 35:7; Yos 21:1, 2
  • +Hes 35:2, 5

Yoshua 14:6

Marejeo

  • +Yos 4:19; 10:43
  • +Hes 32:11, 12
  • +Kum 1:35, 36
  • +Hes 12:7, 8
  • +Hes 13:26

Yoshua 14:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “neno kama lilivyokuwa moyoni mwangu.”

Marejeo

  • +Hes 13:2, 6
  • +Hes 13:30; 14:6, 7

Yoshua 14:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “waliifanya mioyo ya watu iyeyuke.”

  • *

    Tnn., “kikamilifu; kabisa.”

Marejeo

  • +Hes 14:24; 32:11, 12

Yoshua 14:9

Marejeo

  • +Kum 1:36

Yoshua 14:10

Marejeo

  • +Yos 21:45
  • +Hes 14:29, 30
  • +Hes 14:33

Yoshua 14:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “inaelekea.”

  • *

    Au “nitachukua nchi yao.”

Marejeo

  • +Hes 13:33
  • +Hes 13:22, 28
  • +Hes 14:8; Ro 8:31
  • +Yos 15:14; Amu 1:20

Yoshua 14:13

Marejeo

  • +Yos 10:36, 37; 15:13; 21:11, 12; 1Nya 6:55, 56

Yoshua 14:14

Marejeo

  • +Hes 14:24; Kum 1:35, 36; Yos 14:8

Yoshua 14:15

Marejeo

  • +Mwa 23:2
  • +Law 26:6; Yos 11:23

Jumla

Yos. 14:1Hes 34:17; Yos 19:51
Yos. 14:2Hes 26:55; 33:54; Met 16:33; Mdo 13:19
Yos. 14:2Hes 34:13
Yos. 14:3Hes 32:29
Yos. 14:3Kum 10:9; Yos 13:14
Yos. 14:4Mwa 48:5; 1Nya 5:2
Yos. 14:4Mwa 48:19, 20
Yos. 14:4Hes 35:7; Yos 21:1, 2
Yos. 14:4Hes 35:2, 5
Yos. 14:6Yos 4:19; 10:43
Yos. 14:6Hes 32:11, 12
Yos. 14:6Kum 1:35, 36
Yos. 14:6Hes 12:7, 8
Yos. 14:6Hes 13:26
Yos. 14:7Hes 13:2, 6
Yos. 14:7Hes 13:30; 14:6, 7
Yos. 14:8Hes 14:24; 32:11, 12
Yos. 14:9Kum 1:36
Yos. 14:10Yos 21:45
Yos. 14:10Hes 14:29, 30
Yos. 14:10Hes 14:33
Yos. 14:12Hes 13:33
Yos. 14:12Hes 13:22, 28
Yos. 14:12Hes 14:8; Ro 8:31
Yos. 14:12Yos 15:14; Amu 1:20
Yos. 14:13Yos 10:36, 37; 15:13; 21:11, 12; 1Nya 6:55, 56
Yos. 14:14Hes 14:24; Kum 1:35, 36; Yos 14:8
Yos. 14:15Mwa 23:2
Yos. 14:15Law 26:6; Yos 11:23
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yoshua 14:1-15

Yoshua

14 Basi huu ndio urithi ambao kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo* za makabila ya Israeli waliwapa Waisraeli katika nchi ya Kanaani.+ 2 Waligawiwa urithi wao kwa kura,+ kama Yehova alivyomwagiza Musa ayagawie yale makabila tisa na nusu.+ 3 Musa alikuwa tayari ameyapa makabila mawili na nusu urithi ng’ambo ya* Yordani,+ lakini hakuwapa Walawi urithi kati yao.+ 4 Wazao wa Yosefu walihesabiwa kuwa makabila mawili,+ Manase na Efraimu;+ nao hawakuwagawia Walawi urithi nchini, isipokuwa majiji+ ya kuishi na malisho kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+ 5 Basi, Waisraeli waliigawanya nchi kama Yehova alivyomwamuru Musa.

6 Ndipo watu wa kabila la Yuda wakaenda kwa Yoshua kule Gilgali,+ na Kalebu+ mwana wa Yefune Mkenizi akamwambia: “Unajua vizuri maneno ambayo Yehova alimwambia Musa+ mtumishi wa Mungu wa kweli+ juu yangu na juu yako kule Kadesh-barnea.+ 7 Nilikuwa na umri wa miaka 40 Musa mtumishi wa Yehova aliponituma kutoka Kadesh-barnea kwenda kuipeleleza nchi,+ nami nikamletea habari ya kweli.*+ 8 Ingawa ndugu zangu walioenda pamoja nami waliwavunja watu moyo,* mimi nilimfuata Yehova Mungu wangu kwa moyo wote.*+ 9 Siku hiyo, Musa aliapa hivi: ‘Nchi ambayo mguu wako umekanyaga itakuwa urithi wako na wa wana wako milele, kwa sababu umemfuata Yehova Mungu wangu kwa moyo wote.’+ 10 Basi kama alivyoahidi,+ Yehova amenihifadhi hai+ kwa miaka 45 tangu Yehova alipompa Musa ahadi hiyo Waisraeli walipotembea nyikani;+ ningali hai leo, nina umri wa miaka 85. 11 Lakini bado nina nguvu nilizokuwa nazo siku ambayo Musa alinituma. Bado nina nguvu nilizokuwa nazo wakati huo za kupigana vitani na kufanya kazi nyingine. 12 Kwa hiyo, nipe eneo hili lenye milima ambalo Yehova aliahidi siku hiyo. Ingawa ulisikia siku hiyo kwamba kuna Waanaki+ wanaoishi huko katika majiji makubwa yenye ngome,+ bila shaka* Yehova atakuwa pamoja nami,+ nami nitawafukuza,* kama Yehova alivyoahidi.”+

13 Ndipo Yoshua akambariki Kalebu mwana wa Yefune na kumpa Hebroni kuwa urithi wake.+ 14 Ndiyo sababu Hebroni limekuwa urithi wa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi mpaka leo, kwa sababu alimfuata Yehova Mungu wa Israeli kwa moyo wote.+ 15 Hapo awali Hebroni liliitwa Kiriath-arba+ (Arba alikuwa mtu maarufu miongoni mwa Waanaki). Nchi ikawa na amani bila vita.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki