Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 27
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Yehova amuua Lewiathani (1)

      • Wimbo kuhusu Israeli likiwa shamba la mizabibu (2-13)

Isaya 27:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Kum 32:41; Yer 47:6

Isaya 27:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Inaonekana ni Israeli, hapa anarejelewa kuwa mwanamke na kufananishwa na shamba la mizabibu.

Marejeo

  • +Zb 80:8; Isa 5:1; Yer 2:21

Isaya 27:3

Marejeo

  • +Kum 33:29
  • +Isa 35:6; 41:18; 58:11
  • +Zb 121:4; Isa 46:3, 4

Isaya 27:4

Marejeo

  • +Zb 85:2, 3; Isa 12:1

Isaya 27:6

Marejeo

  • +Eze 39:25; Ho. 14:5
  • +Isa 60:21, 22; Yer 30:18, 19

Isaya 27:8

Marejeo

  • +Yer 4:11; Eze 13:13

Isaya 27:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Isa 4:4; 48:10
  • +Mik 5:13, 14

Isaya 27:10

Marejeo

  • +Isa 6:11, 12; Yer 26:18; Omb 2:5; Eze 36:4
  • +Isa 32:14

Isaya 27:11

Marejeo

  • +Kum 32:28; Isa 1:3; Yer 4:22; Ho. 4:6
  • +2Nya 36:15, 16; Eze 9:9, 10

Isaya 27:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, Mto Efrati.

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Hes 34:2, 5
  • +Kum 30:3; Ne 1:9; Isa 11:11, 12; Amo 9:14

Isaya 27:13

Marejeo

  • +Isa 49:22; 62:10
  • +2Fa 17:6; Isa 11:16; Ho. 9:3
  • +Yer 43:4, 7; Zek 10:10
  • +Isa 2:3; 25:6; 52:1; Yer 3:17

Jumla

Isa. 27:1Kum 32:41; Yer 47:6
Isa. 27:2Zb 80:8; Isa 5:1; Yer 2:21
Isa. 27:3Kum 33:29
Isa. 27:3Isa 35:6; 41:18; 58:11
Isa. 27:3Zb 121:4; Isa 46:3, 4
Isa. 27:4Zb 85:2, 3; Isa 12:1
Isa. 27:6Eze 39:25; Ho. 14:5
Isa. 27:6Isa 60:21, 22; Yer 30:18, 19
Isa. 27:8Yer 4:11; Eze 13:13
Isa. 27:9Isa 4:4; 48:10
Isa. 27:9Mik 5:13, 14
Isa. 27:10Isa 6:11, 12; Yer 26:18; Omb 2:5; Eze 36:4
Isa. 27:10Isa 32:14
Isa. 27:11Kum 32:28; Isa 1:3; Yer 4:22; Ho. 4:6
Isa. 27:112Nya 36:15, 16; Eze 9:9, 10
Isa. 27:12Hes 34:2, 5
Isa. 27:12Kum 30:3; Ne 1:9; Isa 11:11, 12; Amo 9:14
Isa. 27:13Isa 49:22; 62:10
Isa. 27:132Fa 17:6; Isa 11:16; Ho. 9:3
Isa. 27:13Yer 43:4, 7; Zek 10:10
Isa. 27:13Isa 2:3; 25:6; 52:1; Yer 3:17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 27:1-13

Isaya

27 Siku hiyo Yehova, akiwa na upanga wake mkali na mkubwa na wenye nguvu,+

Atamwelekezea fikira Lewiathani,* yule nyoka anayenyiririka,

Lewiathani, yule nyoka anayepindapinda,

Naye atamuua mnyama mkubwa sana aliye baharini.

 2 Siku hiyo mwimbieni hivi huyo mwanamke:*

“Shamba la mizabibu la divai inayotoa povu!+

 3 Mimi, Yehova, ninamlinda.+

Kila wakati ninammwagilia maji.+

Ninamlinda usiku na mchana,

Ili mtu yeyote asimdhuru.+

 4 Mimi sina ghadhabu.+

Ni nani atakayenikabili kwa vichaka vya miiba na magugu katika vita?

Nitavikanyaga-kanyaga na kuvichoma moto vyote pamoja.

 5 La sivyo, na ashikilie ngome yangu kwa nguvu,

Na afanye amani pamoja nami;

Acheni afanye amani pamoja nami.”

 6 Siku zinazokuja Yakobo atatia mizizi,

Israeli atachanua maua na kuchipuka,+

Nao watajaza mazao katika nchi.+

 7 Je, ni lazima apigwe kwa pigo la yule anayempiga?

Au, je, ni lazima auawe kama watu wake walivyouawa?

 8 Utashindana naye kwa mlio wa kushtua utakapokuwa ukimfukuza.

Atamfukuza kwa mlipuko wake mkali katika siku ya upepo wa mashariki.+

 9 Basi kwa njia hii uovu wa Yakobo utafunikwa,+

Na haya ndiyo yatakayokuwa mazao kamili dhambi yake itakapoondolewa:

Atayafanya mawe yote ya madhabahu

Yawe kama mawe ya chokaa yaliyopondwa na kuwa ungaunga,

Na hakuna miti mitakatifu* au vinara vya uvumba vitakavyobaki.+

10 Kwa maana jiji lenye ngome litaachwa tupu;

Malisho yataachwa na kubaki kama nyika.+

Ndama atalisha humo na kulala humo

Naye atakula matawi yake.+

11 Vitawi vyake vitakapokauka,

Wanawake watakuja kuvivunja,

Na kuvitumia kuwasha moto.

Kwa maana watu hawa hawana uelewaji.+

Ndiyo sababu Muumba wao hatawaonyesha rehema,

Na Yule aliyewaumba hatawaonyesha kibali.+

12 Siku hiyo Yehova atayapiga kabisa matunda kuanzia kijito kinachotiririka cha ule Mto* mpaka kwenye Korongo* la Misri,+ nanyi mtakusanywa mmoja baada ya mwingine, enyi watu wa Israeli.+ 13 Siku hiyo pembe kubwa itapigwa,+ na wale wanaoangamia katika nchi ya Ashuru+ na wale waliotawanywa katika nchi ya Misri+ watakuja na kumwinamia Yehova kwenye mlima mtakatifu huko Yerusalemu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki