Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 53
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Ufafanuzi kumhusu mpumbavu

        • “Hakuna Yehova” (1)

        • “Hakuna yeyote anayetenda mema” (3)

Zaburi 53:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

  • *

    Angalia Kamusi.

Zaburi 53:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Asiye na akili.”

Marejeo

  • +Zb 10:4; Ro 1:21
  • +Zb 14:1-7; Ro 3:10

Zaburi 53:2

Marejeo

  • +Zb 11:4; 33:13-15; Yer 16:17; 23:24
  • +1Nya 28:9; 2Nya 15:2; 19:1, 3; Isa 55:6; 1Pe 3:12

Zaburi 53:3

Marejeo

  • +Mhu 7:20; Ro 3:12

Zaburi 53:4

Marejeo

  • +Ayu 21:7, 14

Zaburi 53:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Hofu mahali pasipo na chochote cha kuhofu.”

  • *

    Tnn., “wanaopiga kambi dhidi yenu.”

Zaburi 53:6

Marejeo

  • +Isa 12:6

Jumla

Zab. 53:1Zb 10:4; Ro 1:21
Zab. 53:1Zb 14:1-7; Ro 3:10
Zab. 53:2Zb 11:4; 33:13-15; Yer 16:17; 23:24
Zab. 53:21Nya 28:9; 2Nya 15:2; 19:1, 3; Isa 55:6; 1Pe 3:12
Zab. 53:3Mhu 7:20; Ro 3:12
Zab. 53:4Ayu 21:7, 14
Zab. 53:6Isa 12:6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 53:1-6

Zaburi

Kwa kiongozi; katika mtindo wa Mahalathi.* Maskili.* Wa Daudi.

53 Mpumbavu* husema moyoni mwake:

“Hakuna Yehova.”+

Matendo yao maovu yamepotoka na yanachukiza;

Hakuna yeyote anayetenda mema.+

 2 Lakini Mungu anawatazama wanadamu kutoka mbinguni+

Ili aone ikiwa kuna yeyote aliye na ufahamu, ikiwa kuna yeyote anayemtafuta Yehova.+

 3 Wote wamekengeuka;

Wote wamepotoka.

Hakuna yeyote anayetenda mema,

Hakuna hata mmoja.+

 4 Je, hakuna mtenda maovu yeyote anayeelewa?

Wanawala watu wangu kwa pupa kana kwamba wanakula mkate.

Hawamwiti Yehova.+

 5 Lakini watajawa na hofu kubwa,

Hofu ambayo hawajawahi kamwe kuwa nayo,*

Kwa maana Mungu ataitawanya mifupa ya wale wanaowashambulia ninyi.*

Mtawaaibisha, kwa maana Yehova amewakataa wao.

 6 Laiti wokovu wa Israeli ungetoka Sayuni!+

Yehova anapowakusanya tena watu wake waliotekwa,

Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki