Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mhubiri—Yaliyomo

      • Mkumbuke Muumba kabla hujazeeka (1-8)

      • Hitimisho la maneno ya mkutanishaji (9-14)

        • Maneno ya hekima ni kama michokoo ya kuongozea ng’ombe (11)

        • Mwogope Mungu wa kweli (13)

Mhubiri 12:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “msiba.”

Marejeo

  • +Zb 71:17; 148:7, 12; Lu 2:48, 49; 2Ti 3:15
  • +Zb 90:10

Mhubiri 12:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “yakiwa na.”

Marejeo

  • +1Sa 4:15

Mhubiri 12:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watunzaji.”

  • *

    Au “wanatikisika.”

Marejeo

  • +Mwa 48:10

Mhubiri 12:4

Marejeo

  • +2Sa 19:34, 35

Mhubiri 12:5

Marejeo

  • +Met 16:31
  • +Ayu 30:23; Mhu 9:10
  • +Mwa 50:7, 10

Mhubiri 12:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nguvu ya uhai.”

Marejeo

  • +Mwa 3:19; Zb 146:4
  • +Mwa 2:7; Ayu 27:3; 34:14, 15; Zb 104:29; Isa 42:5

Mhubiri 12:8

Marejeo

  • +1Fa 8:1
  • +Mhu 1:2, 14

Mhubiri 12:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “apange kwa utaratibu.”

Marejeo

  • +1Fa 10:1, 3, 6, 8
  • +1Fa 4:29, 32; Met 1:1

Mhubiri 12:10

Marejeo

  • +Met 16:24; 25:11

Mhubiri 12:11

Marejeo

  • +Mdo 2:37; Ebr 4:12

Mhubiri 12:12

Marejeo

  • +Mhu 1:18

Mhubiri 12:13

Marejeo

  • +Ayu 28:28; Zb 111:10; Met 1:7
  • +1Yo 5:3
  • +Kum 6:1, 2; 10:12

Mhubiri 12:14

Marejeo

  • +Zb 62:12; Mhu 11:9; Mt 12:36, 37; Mdo 17:31; 2Ko 5:10; 1Ti 5:24

Jumla

Mhu. 12:1Zb 71:17; 148:7, 12; Lu 2:48, 49; 2Ti 3:15
Mhu. 12:1Zb 90:10
Mhu. 12:21Sa 4:15
Mhu. 12:3Mwa 48:10
Mhu. 12:42Sa 19:34, 35
Mhu. 12:5Met 16:31
Mhu. 12:5Ayu 30:23; Mhu 9:10
Mhu. 12:5Mwa 50:7, 10
Mhu. 12:7Mwa 3:19; Zb 146:4
Mhu. 12:7Mwa 2:7; Ayu 27:3; 34:14, 15; Zb 104:29; Isa 42:5
Mhu. 12:81Fa 8:1
Mhu. 12:8Mhu 1:2, 14
Mhu. 12:91Fa 10:1, 3, 6, 8
Mhu. 12:91Fa 4:29, 32; Met 1:1
Mhu. 12:10Met 16:24; 25:11
Mhu. 12:11Mdo 2:37; Ebr 4:12
Mhu. 12:12Mhu 1:18
Mhu. 12:13Ayu 28:28; Zb 111:10; Met 1:7
Mhu. 12:131Yo 5:3
Mhu. 12:13Kum 6:1, 2; 10:12
Mhu. 12:14Zb 62:12; Mhu 11:9; Mt 12:36, 37; Mdo 17:31; 2Ko 5:10; 1Ti 5:24
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Mhubiri 12:1-14

Mhubiri

12 Basi, mkumbuke Muumba wako Mkuu katika siku za ujana wako,+ kabla hazijaja siku za taabu*+ wala haijafika miaka utakaposema: “Siifurahii”; 2 kabla jua na mwangaza na mwezi na nyota hazijawa na giza,+ na mawingu kurudi baada ya* mvua kubwa; 3 siku ambayo walinzi* wa nyumba wanatetemeka,* na wanaume wenye nguvu wanainama, na wanawake wanaacha kusaga kwa sababu wamekuwa wachache, na mabibi wanaochungulia madirishani wanaona giza;+ 4 milango inayoelekea barabarani inapokuwa imefungwa, sauti ya jiwe la kusagia inapopungua, mtu anapoamshwa na mlio wa ndege, na mabinti wote wanaoimba wanapofifia.+ 5 Pia, mtu anapoogopa sehemu zilizo juu, na vitisho vinapokuwa barabarani. Na mti wa mlozi unapochanua,+ na panzi anapojikokota, na pilipili inapopasuka, kwa sababu mwanadamu anatembea kwenda kwenye nyumba yake ya kudumu+ na waombolezaji wanatembeatembea barabarani;+ 6 kabla kamba ya fedha haijaondolewa, na bakuli la dhahabu kuvunjwa, na mtungi ulio kwenye chemchemi kuvunjika, na gurudumu la tangi la maji kuvunjwa. 7 Kisha mavumbi hurudi ardhini,+ mahali yalikotoka, na roho* hurudi kwa Mungu wa kweli aliyewapa wanadamu.+

8 “Ubatili mkubwa kupita wote!” asema mkutanishaji.+ “Kila kitu ni ubatili.”+

9 Mkutanishaji hakupata tu hekima bali pia aliendelea kuwafundisha watu mambo aliyojua,+ naye alitafakari na kufanya uchunguzi kamili ili atunge* methali nyingi.+⁠ 10 Mkutanishaji alijitahidi kutafuta maneno yanayopendeza+ na kuandika maneno sahihi ya kweli.

11 Maneno ya wenye hekima ni kama michokoo ya kuongozea ng’ombe,+ na misemo yao iliyokusanywa ni kama misumari iliyopigiliwa ikawa imara; yametolewa na mchungaji mmoja. 12 Kuhusu jambo lingine lolote zaidi ya hayo, mwanangu, jihadhari: Hakuna mwisho wa kutunga vitabu vingi, na kuvisoma sana huuchosha sana mwili.+

13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+ 14 Kwa maana Mungu wa kweli atahukumu kila tendo, kutia ndani kila jambo lililofichwa, kuwa jema au baya.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki