Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Kuteseka, kufa, na kuzikwa kwa mtumishi wa Yehova (1-12)

        • Adharauliwa na kuepukwa (3)

        • Abeba magonjwa na maumivu (4)

        • “Kama kondoo machinjioni” (7)

        • Abeba dhambi za wengi (12)

Isaya 53:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “jambo ambalo tulisikia?”

Marejeo

  • +Ro 10:16
  • +Isa 51:9
  • +Isa 40:5; Yoh 12:37, 38

Isaya 53:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Maneno “mbele yake” huenda yanarejelea mtazamaji yeyote au Mungu.

  • *

    Au “hana sura ya pekee hivi kwamba tumtamani.”

Marejeo

  • +Isa 11:1; Zek 6:12
  • +Isa 52:14; Yoh 1:10; Flp 2:7

Isaya 53:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “aliyeelewa.”

  • *

    Au labda, “Alikuwa kama mtu ambaye watu waligeuza mbali nyuso zao ili wasimtazame.”

Marejeo

  • +Zb 22:7; Mt 26:67, 68; Yoh 6:66; 1Pe 2:4
  • +Zek 11:13; Yoh 18:39, 40; Mdo 3:13, 14; 4:11

Isaya 53:4

Marejeo

  • +Mt 8:14-17
  • +Law 16:21, 22; 1Pe 2:24; 1Yo 2:1, 2

Isaya 53:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “alichomwa kwa silaha.”

Marejeo

  • +Zek 12:10; Yoh 19:34
  • +Da 9:24; Ro 4:25
  • +Mt 20:28; Ro 5:6, 19
  • +Kol 1:19, 20
  • +1Pe 2:24

Isaya 53:6

Marejeo

  • +1Pe 2:25
  • +1Pe 3:18

Isaya 53:7

Marejeo

  • +Zb 22:12; 69:4
  • +1Pe 2:23
  • +Yoh 1:29; 1Ko 5:7
  • +Mt 27:12-14; Mdo 8:32, 33

Isaya 53:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukandamizaji.”

  • *

    Au “njia yake ya maisha.”

  • *

    Au “Aliuawa.”

Marejeo

  • +Da 9:26; Mt 27:50
  • +Zek 13:7; Yoh 11:49, 50; Ro 5:6; Ebr 9:26

Isaya 53:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Na mtu atatoa kaburi lake.”

  • *

    Tnn., “mtu tajiri.”

  • *

    Au “ukatili.”

Marejeo

  • +Mt 27:38
  • +Mt 27:57-60; Mk 15:46; Yoh 19:41
  • +1Pe 2:22

Isaya 53:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Yehova alifurahia.”

  • *

    Au “nafsi yake.”

  • *

    Tnn., “Ataiona mbegu yake.”

  • *

    Au “mapendezi.”

Marejeo

  • +Law 16:11; 2Ko 5:21; Ebr 7:27
  • +Isa 9:7; 1Ti 6:16
  • +Kol 1:19, 20

Isaya 53:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “maumivu ya nafsi.”

Marejeo

  • +Isa 42:1
  • +Ro 5:18, 19
  • +1Pe 2:24

Isaya 53:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “aliimwaga nafsi yake.”

Marejeo

  • +Zb 22:14; Mt 26:27, 28; Ebr 2:14
  • +Mk 15:27; Lu 22:37; 23:32, 33
  • +Mt 20:28; 1Ti 2:5, 6; Tit 2:13, 14; Ebr 9:28
  • +Ro 8:34; Ebr 7:25; 9:26; 1Yo 2:1, 2

Jumla

Isa. 53:1Ro 10:16
Isa. 53:1Isa 51:9
Isa. 53:1Isa 40:5; Yoh 12:37, 38
Isa. 53:2Isa 11:1; Zek 6:12
Isa. 53:2Isa 52:14; Yoh 1:10; Flp 2:7
Isa. 53:3Zb 22:7; Mt 26:67, 68; Yoh 6:66; 1Pe 2:4
Isa. 53:3Zek 11:13; Yoh 18:39, 40; Mdo 3:13, 14; 4:11
Isa. 53:4Mt 8:14-17
Isa. 53:4Law 16:21, 22; 1Pe 2:24; 1Yo 2:1, 2
Isa. 53:5Zek 12:10; Yoh 19:34
Isa. 53:5Da 9:24; Ro 4:25
Isa. 53:5Mt 20:28; Ro 5:6, 19
Isa. 53:5Kol 1:19, 20
Isa. 53:51Pe 2:24
Isa. 53:61Pe 2:25
Isa. 53:61Pe 3:18
Isa. 53:7Zb 22:12; 69:4
Isa. 53:71Pe 2:23
Isa. 53:7Yoh 1:29; 1Ko 5:7
Isa. 53:7Mt 27:12-14; Mdo 8:32, 33
Isa. 53:8Da 9:26; Mt 27:50
Isa. 53:8Zek 13:7; Yoh 11:49, 50; Ro 5:6; Ebr 9:26
Isa. 53:9Mt 27:38
Isa. 53:9Mt 27:57-60; Mk 15:46; Yoh 19:41
Isa. 53:91Pe 2:22
Isa. 53:10Law 16:11; 2Ko 5:21; Ebr 7:27
Isa. 53:10Isa 9:7; 1Ti 6:16
Isa. 53:10Kol 1:19, 20
Isa. 53:11Isa 42:1
Isa. 53:11Ro 5:18, 19
Isa. 53:111Pe 2:24
Isa. 53:12Zb 22:14; Mt 26:27, 28; Ebr 2:14
Isa. 53:12Mk 15:27; Lu 22:37; 23:32, 33
Isa. 53:12Mt 20:28; 1Ti 2:5, 6; Tit 2:13, 14; Ebr 9:28
Isa. 53:12Ro 8:34; Ebr 7:25; 9:26; 1Yo 2:1, 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 53:1-12

Isaya

53 Ni nani ambaye ameamini jambo alilosikia kutoka kwetu?*+

Na mkono wa Yehova,+ umefunuliwa kwa nani?+

 2 Atapanda kama tawi+ mbele yake,* kama mzizi kutoka katika nchi iliyokauka.

Hana umbo la kifahari, wala utukufu wowote;+

Na tunapomwona, sura yake haituvutii.*

 3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+

Mtu aliyekusudiwa kupata* maumivu na aliyezoea magonjwa.

Ilikuwa kana kwamba uso wake ulifichwa kutoka kwetu.*

Alidharauliwa, nasi tulimwona kuwa asiye na maana.+

 4 Kwa kweli yeye mwenyewe aliyabeba magonjwa yetu,+

Na kujitwika maumivu yetu.+

Lakini tulimwona kama mtu aliyepata mapigo, aliyepigwa na Mungu na kuteswa.

 5 Lakini alichomwa*+ kwa sababu ya makosa yetu;+

Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+

Aliibeba adhabu ili tupate amani,+

Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+

 6 Sisi sote tumetangatanga kama kondoo,+

Kila mmoja ameifuata njia yake mwenyewe,

Na Yehova amefanya dhambi yetu sote ikutane naye.+

 7 Alikandamizwa+ na alikubali kuteswa,+

Lakini hakuthubutu kufungua kinywa chake.

Aliletwa kama kondoo machinjioni,+

Kama kondoo jike aliye kimya mbele ya wanaomkata manyoya,

Na hakuthubutu kufungua kinywa chake.+

 8 Kwa sababu ya kizuizi* na hukumu alichukuliwa;

Na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?*

Kwa maana aliondolewa katika nchi ya walio hai;+

Alipata pigo* kwa sababu ya makosa ya watu wangu.+

 9 Naye alipewa kaburi* pamoja na waovu,+

Na pamoja na matajiri* katika kifo chake,+

Ingawa hakuwa amefanya kosa*

Na hakukuwa na udanganyifu kinywani mwake.+

10 Lakini yalikuwa mapenzi ya Yehova* kumponda, naye aliruhusu awe mgonjwa.

Ukitoa uhai wake* uwe dhabihu ya hatia,+

Atauona uzao wake,* ataongeza siku zake,+

Na kupitia kwake mapenzi* ya Yehova yatafanikiwa.+

11 Kwa sababu ya mateso* yake, ataona na kuridhika.

Kupitia ujuzi wake, yule mwadilifu, mtumishi wangu,+

Atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu,+

Na dhambi zao atazibeba.+

12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,

Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,

Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+

Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+

Aliibeba dhambi ya watu wengi,+

Naye aliwatetea wakosaji.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki