Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 51
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Sayuni larudishwa kuwa kama bustani ya Edeni (1-8)

      • Faraja kutoka kwa Muumba wa Sayuni mwenye nguvu (9-16)

      • Kikombe cha ghadhabu ya Yehova (17-23)

Isaya 51:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “aliyewazaa kwa uchungu wa kuzaa.”

Marejeo

  • +Mwa 21:2
  • +Mwa 12:1; 15:2
  • +1Fa 4:20

Isaya 51:3

Marejeo

  • +Zb 102:13; Isa 66:13; Yer 31:12
  • +Isa 44:26; 61:4
  • +Mwa 2:8
  • +Isa 35:1; 41:18
  • +Yer 33:10, 11

Isaya 51:4

Marejeo

  • +Kut 19:6; Kum 7:6
  • +Isa 2:3; Mik 4:2
  • +Met 6:23

Isaya 51:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “vitangojea nguvu zangu.”

Marejeo

  • +Isa 46:13
  • +Isa 12:2; 56:1
  • +1Sa 2:10; Isa 2:4
  • +Isa 60:9

Isaya 51:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Aina ya mbu anayeitwa hak·kin·namʹ katika Kiebrania.

  • *

    Au “hautavunjwa.”

Marejeo

  • +Isa 45:17
  • +Zb 102:25-27; Mt 24:35

Isaya 51:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mafundisho.”

Marejeo

  • +Yer 31:33

Isaya 51:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Mnyoo.”

Marejeo

  • +Isa 50:9
  • +Isa 45:17; Lu 1:50

Isaya 51:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Lu 1:51
  • +Zb 87:4; 89:10; Isa 30:7
  • +Kut 15:4; Ne 9:10, 11; Zb 106:22; Eze 29:3

Isaya 51:10

Marejeo

  • +Kut 14:21, 22
  • +Zb 106:9

Isaya 51:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “juu ya vichwa vyao.”

Marejeo

  • +Yer 31:11; Zek 10:10
  • +Isa 35:10
  • +Isa 61:7
  • +Isa 25:8; 65:18, 19

Isaya 51:12

Marejeo

  • +Isa 49:13; 66:13
  • +Zb 118:6; Da 3:16, 17; Mt 10:28

Isaya 51:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “yule anayekubana.”

Marejeo

  • +Isa 44:2
  • +Isa 40:22

Isaya 51:14

Marejeo

  • +Ezr 1:2, 3; Isa 48:20; 52:2

Isaya 51:15

Marejeo

  • +Yer 31:35, 36; Yon 1:4
  • +Isa 47:4

Isaya 51:16

Marejeo

  • +Kum 33:27; Zb 91:1
  • +Isa 65:17; 66:8, 22
  • +Isa 60:14; Yer 31:33; Zek 8:8

Isaya 51:17

Marejeo

  • +Isa 52:1; 60:1
  • +Yer 25:15

Isaya 51:19

Marejeo

  • +Eze 14:21
  • +Omb 1:17

Isaya 51:20

Marejeo

  • +Omb 2:11

Isaya 51:22

Marejeo

  • +Isa 51:17
  • +Isa 54:9; 62:8

Isaya 51:23

Marejeo

  • +Isa 49:25

Jumla

Isa. 51:2Mwa 21:2
Isa. 51:2Mwa 12:1; 15:2
Isa. 51:21Fa 4:20
Isa. 51:3Zb 102:13; Isa 66:13; Yer 31:12
Isa. 51:3Isa 44:26; 61:4
Isa. 51:3Mwa 2:8
Isa. 51:3Isa 35:1; 41:18
Isa. 51:3Yer 33:10, 11
Isa. 51:4Kut 19:6; Kum 7:6
Isa. 51:4Isa 2:3; Mik 4:2
Isa. 51:4Met 6:23
Isa. 51:5Isa 46:13
Isa. 51:5Isa 12:2; 56:1
Isa. 51:51Sa 2:10; Isa 2:4
Isa. 51:5Isa 60:9
Isa. 51:6Isa 45:17
Isa. 51:6Zb 102:25-27; Mt 24:35
Isa. 51:7Yer 31:33
Isa. 51:8Isa 50:9
Isa. 51:8Isa 45:17; Lu 1:50
Isa. 51:9Lu 1:51
Isa. 51:9Zb 87:4; 89:10; Isa 30:7
Isa. 51:9Kut 15:4; Ne 9:10, 11; Zb 106:22; Eze 29:3
Isa. 51:10Kut 14:21, 22
Isa. 51:10Zb 106:9
Isa. 51:11Yer 31:11; Zek 10:10
Isa. 51:11Isa 35:10
Isa. 51:11Isa 61:7
Isa. 51:11Isa 25:8; 65:18, 19
Isa. 51:12Isa 49:13; 66:13
Isa. 51:12Zb 118:6; Da 3:16, 17; Mt 10:28
Isa. 51:13Isa 44:2
Isa. 51:13Isa 40:22
Isa. 51:14Ezr 1:2, 3; Isa 48:20; 52:2
Isa. 51:15Yer 31:35, 36; Yon 1:4
Isa. 51:15Isa 47:4
Isa. 51:16Kum 33:27; Zb 91:1
Isa. 51:16Isa 65:17; 66:8, 22
Isa. 51:16Isa 60:14; Yer 31:33; Zek 8:8
Isa. 51:17Isa 52:1; 60:1
Isa. 51:17Yer 25:15
Isa. 51:19Eze 14:21
Isa. 51:19Omb 1:17
Isa. 51:20Omb 2:11
Isa. 51:22Isa 51:17
Isa. 51:22Isa 54:9; 62:8
Isa. 51:23Isa 49:25
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 51:1-23

Isaya

51 “Nisikilizeni mimi, ninyi mnaofuatia uadilifu,

Ninyi mnaomtafuta Yehova.

Uangalieni mwamba ambao mlichongwa kutoka kwake

Na machimbo ambamo mlichimbwa kutoka ndani yake.

 2 Mwangalieni Abrahamu baba yenu

Na Sara+ aliyewazaa.*

Kwa maana Abrahamu alikuwa mmoja tu nilipomwita,+

Nami nilimbariki na kumfanya kuwa wengi.+

 3 Kwa maana Yehova atalifariji Sayuni.+

Ataleta faraja kwa magofu yake yote,+

Naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+

Na jangwa lake tambarare kama bustani ya Yehova.+

Kutakuwa na furaha na shangwe ndani yake,

Kutoa shukrani na nyimbo tamu.+

 4 Nisikilizeni, enyi watu wangu,

Na mnitegee sikio, taifa langu.+

Kwa maana sheria itatoka kwangu,+

Nami nitaifanya haki yangu kuwa nuru kwa watu.+

 5 Uadilifu wangu unakaribia.+

Wokovu wangu utatoka,+

Na mikono yangu itayahukumu mataifa.+

Visiwa vitanitumaini mimi,+

Navyo vitaungojea mkono wangu.*

 6 Inueni macho yenu mbinguni,

Na mtazame chini duniani.

Kwa maana mbingu zitatawanyika vipandevipande kama moshi;

Nayo dunia itachakaa kama vazi,

Na wakaaji wake watakufa kama mbu.*

Lakini wokovu wangu utadumu milele,+

Na uadilifu wangu hautashindwa kamwe.*+

 7 Nisikilizeni mimi, ninyi mnaoujua uadilifu,

Watu walio na sheria* yangu moyoni mwao.+

Msiogope dhihaka za wanadamu wanaoweza kufa,

Na msiogopeshwe na matusi yao.

 8 Kwa maana nondo atawala kabisa kama vazi;

Nondo* alaye nguo atawala kabisa kama sufu.+

Lakini uadilifu wangu utadumu milele,

Na wokovu wangu kwa vizazi vyote.”+

 9 Amka! Amka! Jivike nguvu,

Ee mkono wa Yehova!+

Amka kama katika siku za zamani za kale, kama katika vizazi vilivyopita.

Je, si wewe uliyemvunja Rahabu*+ vipandevipande,

Uliyemchoma kwa silaha yule mnyama mkubwa sana wa baharini?+

10 Je, si wewe uliyeikausha bahari, maji ya kilindi kikubwa?+

Uliyevifanya vilindi vya bahari kuwa njia ili watu waliokombolewa wavuke?+

11 Watu wa Yehova waliokombolewa watarudi.+

Watakuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe,+

Na shangwe isiyokoma itakuwa taji lao.*+

Watakuwa na furaha na shangwe.

Huzuni na kilio cha uchungu vitakimbia.+

12 “Mimi mwenyewe Ndiye ninayewafariji.+

Kwa nini umwogope mwanadamu anayeweza kufa ambaye atakufa+

Na mwana wa binadamu atakayenyauka kama majani mabichi?

13 Kwa nini unamsahau Yehova Muumba wako,+

Yule aliyezitandaza mbingu+ na kuweka msingi wa dunia?

Mchana kutwa uliendelea kuhofu ghadhabu ya mkandamizaji,*

Kana kwamba angeweza kukuangamiza.

Iko wapi sasa ghadhabu ya mkandamizaji?

14 Yule aliyejikunja katika minyororo atawekwa huru hivi karibuni;+

Hatakufa na kuingia shimoni,

Wala hatakosa mkate.

15 Lakini mimi ni Yehova Mungu wako,

Ninayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake+

—Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+

16 Nitayaweka maneno yangu katika kinywa chako,

Nami nitakufunika kwa kivuli cha mkono wangu,+

Ili kuzipanda mbingu na kuuweka msingi wa dunia+

Na kuwaambia watu wa Sayuni, ‘Ninyi ni watu wangu.’+

17 Amka! Amka! Simama, Ee Yerusalemu,+

Wewe ambaye umekunywa kutoka mkononi mwa Yehova kikombe chake cha ghadhabu.

Umekunywa bilauri;

Umemaliza kabisa kikombe kinachofanya watu wapepesuke.+

18 Kati ya wana wote aliowazaa hakuna hata mmoja aliye hapo ili kumwongoza,

Na kati ya wana wote aliowalea hakuna hata mmoja ambaye anamshika mkono.

19 Mambo hayo mawili yamekupata.

Ni nani atakayekusikitikia?

Maangamizi na uharibifu, njaa na upanga!+

Ni nani atakayekufariji?+

20 Wana wako wamezimia.+

Wanalala chini katika kila pembe ya barabara

Kama kondoo mwitu katika wavu.

Wamejaa ghadhabu ya Yehova, kemeo la Mungu wako.”

21 Kwa hiyo tafadhali sikiliza jambo hili,

Ewe mwanamke uliyeteseka na kulewa, lakini si kwa divai.

22 Bwana wako Yehova, Mungu wako anayewatetea watu wake anasema hivi:

“Tazama! Nitakichukua kutoka mkononi mwako kile kikombe kinachofanya watu wapepesuke,+

Ile bilauri, kikombe changu cha ghadhabu;

Hutakinywa tena.+

23 Nitakitia mkononi mwa wale wanaokutesa,+

Wale waliokuambia, ‘Inama chini ili tutembee juu yako!’

Basi ukaufanya mgongo wako kama ardhi,

Kama barabara yao ya kutembea juu yake.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki