Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Yehova ainuka ili kutenda

        • Maneno ya Mungu ni safi (6)

Zaburi 12:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Zaburi 12:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wanaongea kwa mdomo laini.”

  • *

    Tnn., “kwa moyo na moyo.”

Marejeo

  • +Zb 28:3

Zaburi 12:3

Marejeo

  • +Kut 15:9, 10; 1Sa 2:3; Eze 28:2

Zaburi 12:4

Marejeo

  • +Zb 10:5

Zaburi 12:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaojitutumua mbele yao.”

Marejeo

  • +Kut 3:7

Zaburi 12:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “tanuru la kuyeyusha lililowekwa ardhini.”

Marejeo

  • +2Sa 22:31; Zb 19:8

Zaburi 12:7

Marejeo

  • +1Sa 2:9

Zaburi 12:8

Marejeo

  • +Mhu 8:11

Jumla

Zab. 12:2Zb 28:3
Zab. 12:3Kut 15:9, 10; 1Sa 2:3; Eze 28:2
Zab. 12:4Zb 10:5
Zab. 12:5Kut 3:7
Zab. 12:62Sa 22:31; Zb 19:8
Zab. 12:71Sa 2:9
Zab. 12:8Mhu 8:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 12:1-8

Zaburi

Kwa kiongozi; umepatanishwa na sauti ya Sheminithi.* Muziki wa Daudi.

12 Niokoe, Ee Yehova, kwa maana mtu mshikamanifu hayupo tena;

Watu waaminifu wametoweka kutoka miongoni mwa wanadamu.

 2 Wanaambiana uwongo;

Wanasifusifu kwa midomo yao* na kuzungumza kwa mioyo midanganyifu.*+

 3 Yehova ataikata kabisa midomo yote inayosifusifu

Na ulimi unaojigamba kupindukia,+

 4 Wale wanaosema: “Tutashinda kwa ndimi zetu.

Tunatumia midomo yetu tupendavyo;

Ni nani atakayekuwa bwana mkubwa wetu?”+

 5 “Kwa sababu wale wanaoteswa wanakandamizwa,

Kwa sababu ya kilio cha uchungu cha maskini,+

Nitainuka na kutenda,” asema Yehova.

“Nitawaokoa kutoka kwa wale wanaowatendea kwa dharau.”*

 6 Maneno ya Yehova ni safi;+

Ni kama fedha iliyosafishwa katika tanuru la udongo,* iliyosafishwa mara saba.

 7 Utawalinda, Ee Yehova;+

Utamlinda kila mmoja wao milele kutokana na kizazi hiki.

 8 Waovu wanatembea huku na huku kwa uhuru

Kwa sababu wanadamu wanaendeleza upotovu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki