Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hesabu—Yaliyomo

      • Watu wataka kurudi Misri (1-10)

        • Yoshua na Kalebu waleta habari nzuri (6-9)

      • Yehova akasirika; Musa aingilia kati (11-19)

      • Adhabu: miaka 40 nyikani (20-38)

      • Waisraeli washindwa na Waamaleki (39-45)

Hesabu 14:1

Marejeo

  • +Kum 1:32, 33

Hesabu 14:2

Marejeo

  • +Kum 1:27; Zb 106:25

Hesabu 14:3

Marejeo

  • +Zb 78:40
  • +Hes 14:31; Kum 1:39
  • +Hes 11:5

Hesabu 14:4

Marejeo

  • +Ne 9:17

Hesabu 14:6

Marejeo

  • +Hes 13:8, 16
  • +Hes 13:6, 16; 14:30

Hesabu 14:7

Marejeo

  • +Hes 13:26, 27; Kum 1:25; 8:7, 8

Hesabu 14:8

Marejeo

  • +Kut 3:8

Hesabu 14:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wao ni mkate kwetu.”

Marejeo

  • +Kum 7:17, 18; 20:3
  • +Kut 33:16; Kum 20:1

Hesabu 14:10

Marejeo

  • +Kut 17:4
  • +Kut 16:10

Hesabu 14:11

Marejeo

  • +Kut 16:28; Hes 14:22, 23
  • +Kum 9:23; Ebr 3:19

Hesabu 14:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tauni.”

Marejeo

  • +Kut 32:10

Hesabu 14:13

Marejeo

  • +Kut 32:12; Eze 20:9

Hesabu 14:14

Marejeo

  • +Kut 15:13, 14; Yos 2:10; 5:1
  • +Kum 4:12; 5:4
  • +Kut 13:21; Zb 78:14

Hesabu 14:16

Marejeo

  • +Kum 9:28

Hesabu 14:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “fadhili nyingi zenye upendo.”

Marejeo

  • +Zb 103:8; Mik 7:18
  • +Kut 34:6, 7

Hesabu 14:19

Marejeo

  • +Kut 34:9; Zb 78:38

Hesabu 14:20

Marejeo

  • +Yak 5:16

Hesabu 14:21

Marejeo

  • +Zb 72:19; Hab 2:14

Hesabu 14:22

Marejeo

  • +Ne 9:17
  • +Kut 17:2; Zb 95:9; 106:14; Ebr 3:16
  • +Zb 81:11

Hesabu 14:23

Marejeo

  • +Hes 26:63, 64; 32:11; Kum 1:35; Zb 95:11; 106:26; Ebr 3:18; 4:3

Hesabu 14:24

Marejeo

  • +Hes 13:30; 26:65
  • +Yos 14:9, 14

Hesabu 14:25

Marejeo

  • +Hes 13:29
  • +Kum 1:40

Hesabu 14:27

Marejeo

  • +Kut 16:28; Hes 14:11
  • +1Ko 10:6, 10

Hesabu 14:28

Marejeo

  • +Hes 14:2; 26:64; 32:11; Kum 1:35

Hesabu 14:29

Marejeo

  • +Zb 106:26; 1Ko 10:5; Ebr 3:17
  • +Hes 1:45, 46; Yud 5

Hesabu 14:30

Marejeo

  • +Kut 6:8
  • +Hes 26:65; 32:11, 12; Kum 1:34-38

Hesabu 14:31

Marejeo

  • +Hes 14:3; Kum 1:39
  • +Zb 106:24

Hesabu 14:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ya ukahaba.”

Marejeo

  • +Hes 32:13; Yos 14:10
  • +Kum 1:3; 2:14

Hesabu 14:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ya kuwa maadui wangu.”

Marejeo

  • +Zb 95:10; Mdo 7:36; 13:18
  • +Hes 13:25

Hesabu 14:35

Marejeo

  • +Hes 14:29; Ebr 3:17

Hesabu 14:36

Marejeo

  • +Hes 13:32

Hesabu 14:37

Marejeo

  • +1Ko 10:6, 10; Yud 5

Hesabu 14:38

Marejeo

  • +Hes 14:30; 26:65; 32:11, 12; Kum 1:35, 36; Yos 14:6

Hesabu 14:40

Marejeo

  • +Kum 1:41

Hesabu 14:42

Marejeo

  • +Law 26:14, 17; Kum 1:42

Hesabu 14:43

Marejeo

  • +Hes 13:29
  • +2Nya 15:2

Hesabu 14:44

Marejeo

  • +Kum 1:43
  • +Hes 10:33

Hesabu 14:45

Marejeo

  • +Hes 21:1, 3; Kum 1:44

Jumla

Hes. 14:1Kum 1:32, 33
Hes. 14:2Kum 1:27; Zb 106:25
Hes. 14:3Zb 78:40
Hes. 14:3Hes 14:31; Kum 1:39
Hes. 14:3Hes 11:5
Hes. 14:4Ne 9:17
Hes. 14:6Hes 13:8, 16
Hes. 14:6Hes 13:6, 16; 14:30
Hes. 14:7Hes 13:26, 27; Kum 1:25; 8:7, 8
Hes. 14:8Kut 3:8
Hes. 14:9Kum 7:17, 18; 20:3
Hes. 14:9Kut 33:16; Kum 20:1
Hes. 14:10Kut 17:4
Hes. 14:10Kut 16:10
Hes. 14:11Kut 16:28; Hes 14:22, 23
Hes. 14:11Kum 9:23; Ebr 3:19
Hes. 14:12Kut 32:10
Hes. 14:13Kut 32:12; Eze 20:9
Hes. 14:14Kut 15:13, 14; Yos 2:10; 5:1
Hes. 14:14Kum 4:12; 5:4
Hes. 14:14Kut 13:21; Zb 78:14
Hes. 14:16Kum 9:28
Hes. 14:18Zb 103:8; Mik 7:18
Hes. 14:18Kut 34:6, 7
Hes. 14:19Kut 34:9; Zb 78:38
Hes. 14:20Yak 5:16
Hes. 14:21Zb 72:19; Hab 2:14
Hes. 14:22Ne 9:17
Hes. 14:22Kut 17:2; Zb 95:9; 106:14; Ebr 3:16
Hes. 14:22Zb 81:11
Hes. 14:23Hes 26:63, 64; 32:11; Kum 1:35; Zb 95:11; 106:26; Ebr 3:18; 4:3
Hes. 14:24Hes 13:30; 26:65
Hes. 14:24Yos 14:9, 14
Hes. 14:25Hes 13:29
Hes. 14:25Kum 1:40
Hes. 14:27Kut 16:28; Hes 14:11
Hes. 14:271Ko 10:6, 10
Hes. 14:28Hes 14:2; 26:64; 32:11; Kum 1:35
Hes. 14:29Zb 106:26; 1Ko 10:5; Ebr 3:17
Hes. 14:29Hes 1:45, 46; Yud 5
Hes. 14:30Kut 6:8
Hes. 14:30Hes 26:65; 32:11, 12; Kum 1:34-38
Hes. 14:31Hes 14:3; Kum 1:39
Hes. 14:31Zb 106:24
Hes. 14:33Hes 32:13; Yos 14:10
Hes. 14:33Kum 1:3; 2:14
Hes. 14:34Zb 95:10; Mdo 7:36; 13:18
Hes. 14:34Hes 13:25
Hes. 14:35Hes 14:29; Ebr 3:17
Hes. 14:36Hes 13:32
Hes. 14:371Ko 10:6, 10; Yud 5
Hes. 14:38Hes 14:30; 26:65; 32:11, 12; Kum 1:35, 36; Yos 14:6
Hes. 14:40Kum 1:41
Hes. 14:42Law 26:14, 17; Kum 1:42
Hes. 14:43Hes 13:29
Hes. 14:432Nya 15:2
Hes. 14:44Kum 1:43
Hes. 14:44Hes 10:33
Hes. 14:45Hes 21:1, 3; Kum 1:44
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hesabu 14:1-45

Hesabu

14 Basi Waisraeli wote wakalia kwa sauti na kutokwa na machozi usiku kucha.+ 2 Waisraeli wote wakaanza kumnung’unikia Musa na Haruni,+ na wote wakawalalamikia wakisema: “Laiti tungalifia katika nchi ya Misri, au laiti tungalifia hapa nyikani! 3 Kwa nini Yehova anatuleta kwenye nchi hii ili tuuawe kwa upanga?+ Wake zetu na watoto wetu watakuwa mateka.+ Je, si afadhali turudi Misri?”+ 4 Hata waliambiana: “Na tuchague kiongozi, turudi Misri!”+

5 Ndipo Musa na Haruni wakaanguka chini kifudifudi mbele ya Waisraeli wote waliokuwa wamekusanyika. 6 Yoshua+ mwana wa Nuni na Kalebu+ mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwa watu walioipeleleza nchi, wakayararua mavazi yao, 7 na kuwaambia hivi Waisraeli wote: “Nchi tuliyoenda kuipeleleza ni nchi nzuri sana, nzuri kwelikweli.+ 8 Ikiwa Yehova amependezwa nasi, kwa hakika atatuingiza katika nchi hii na kutupatia iwe yetu, nchi inayotiririka maziwa na asali.+ 9 Lakini msimwasi Yehova, nanyi msiwaogope watu wa nchi hiyo,+ kwa maana tutawashinda kwa urahisi.* Ulinzi wao umeondolewa, na Yehova yuko pamoja nasi.+ Msiwaogope.”

10 Hata hivyo, Waisraeli wote wakasema wapigwe mawe.+ Lakini utukufu wa Yehova ukatokea juu ya hema la mkutano machoni pa Waisraeli wote.+

11 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunidharau mpaka lini,+ watakataa kuniamini mpaka lini licha ya miujiza yote niliyofanya miongoni mwao?+ 12 Acha niwapige kwa ugonjwa hatari* na kuwafukuza, na acha nikufanye wewe kuwa taifa kubwa zaidi na lenye nguvu zaidi kuliko wao.”+

13 Lakini Musa akamwambia Yehova: “Kisha Wamisri, ambao kati yao uliwatoa watu hawa kwa nguvu zako, watasikia habari hizo,+ 14 nao watawaambia wakaaji wa nchi hii. Wakaaji hao pia wamesikia kwamba wewe, Yehova, uko miongoni mwa watu hawa,+ nawe umewatokea uso kwa uso.+ Wewe ni Yehova, na wingu lako limesimama juu yao, nawe unawatangulia katika nguzo ya wingu wakati wa mchana na katika nguzo ya moto wakati wa usiku.+ 15 Ukiwaua watu hawa wote mara moja, mataifa ambayo yamesikia sifa zako yatasema, 16 ‘Yehova alishindwa kuwapeleka watu hawa katika nchi ambayo aliapa kuwa angewapa ndiyo sababu aliwachinja nyikani.’+ 17 Sasa, Ee Yehova, tafadhali, acha nguvu zako kuu zionekane, kama ulivyoahidi uliposema, 18 ‘Mimi Yehova, si mwepesi wa hasira, nina upendo mwingi mshikamanifu,*+ ninasamehe makosa na uovu, lakini sikosi kamwe kuwaadhibu wenye hatia, ninawaadhibu wana na wajukuu kufikia kizazi cha tatu na cha nne kwa sababu ya makosa ya baba zao.’+ 19 Tafadhali, wasamehe watu hawa dhambi zao kulingana na upendo wako mwingi mshikamanifu, kama ambavyo umekuwa ukiwasamehe tangu walipotoka Misri mpaka sasa.”+

20 Basi Yehova akasema: “Nimewasamehe kama ulivyoomba.+ 21 Lakini, kwa hakika kama niishivyo, dunia yote itajaa utukufu wa Yehova.+ 22 Hata hivyo, hakuna mtu hata mmoja aliyeona utukufu wangu na miujiza+ niliyofanya nchini Misri na nyikani ambaye bado ananijaribu+ mara hizi kumi na kukataa kusikiliza sauti yangu+ 23 ataiona nchi niliyoapa kwamba nitawapa baba zao. Hakuna mtu hata mmoja anayenidharau atakayeiona.+ 24 Lakini kwa sababu mtumishi wangu Kalebu+ alikuwa na roho tofauti naye aliendelea kunifuata kwa moyo wote, kwa hakika nitamwingiza katika nchi aliyoenda kuipeleleza, na wazao wake wataimiliki.+ 25 Kwa kuwa Waamaleki na Wakanaani+ wanaishi bondeni, kesho geukeni mwelekee nyikani kupitia njia ya Bahari Nyekundu.”+

26 Kisha Yehova akamwambia Musa na Haruni: 27 “Umati huu wa watu waovu utaendelea kuninung’unikia mpaka lini?+ Nimesikia manung’uniko ya Waisraeli juu yangu.+ 28 Waambie, ‘“Kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Yehova, “nitawatendea mambo yaleyale niliyosikia mkisema!+ 29 Maiti zenu zitaanguka katika nyika hii,+ naam, ninyi nyote mlioninung’unikia, kila mtu aliyeandikishwa mwenye umri wa kuanzia miaka 20 na zaidi.+ 30 Hakuna hata mmoja wenu atakayeingia katika nchi niliyoapa kwamba mtaishi ndani yake,+ isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+

31 “‘“Na watoto wenu ambao mlisema kwamba watakuwa mateka,+ nitawaingiza katika nchi ambayo mmeikataa, nao wataijua.+ 32 Lakini maiti zenu zitaanguka katika nyika hii. 33 Wana wenu watakuwa wachungaji nyikani kwa miaka 40,+ nao lazima wateseke kwa sababu ya matendo yenu ya kukosa uaminifu* mpaka mtu wenu wa mwisho atakapofia nyikani.+ 34 Mtateseka kwa sababu ya makosa yenu kwa miaka 40,+ sawa na siku 40+ ambazo mliipeleleza nchi, yaani, siku moja kwa mwaka mmoja, siku moja kwa mwaka mmoja, kwa maana mtajionea matokeo ya kunipinga mimi.*

35 “‘“Mimi, Yehova, nimesema. Hivi ndivyo nitakavyoutendea umati huu wa watu waovu, ambao umekusanyika pamoja dhidi yangu: Wataishia humu nyikani, naam, watafia humu.+ 36 Wanaume ambao Musa aliwatuma kuipeleleza nchi, wakaleta habari mbaya kuhusu nchi hiyo na kufanya Waisraeli wote wamnung’unikie Musa,+ 37 naam, wanaume hao walioleta habari mbaya kuhusu nchi hiyo watauawa mbele za Yehova.+ 38 Lakini Yoshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwa wanaume walioenda kuipeleleza nchi, ndio watakaoendelea kuishi.”’”+

39 Musa alipowaambia Waisraeli wote maneno hayo, watu walianza kuomboleza kwa uchungu mwingi. 40 Hata waliamka asubuhi na mapema na kujaribu kupanda juu mlimani, wakisema: “Tuko tayari kupanda mpaka mahali ambapo Yehova alituambia, kwa maana tumetenda dhambi.”+ 41 Lakini Musa akawaambia: “Kwa nini mnakiuka agizo la Yehova? Hamtafanikiwa. 42 Msipande kwenda huko, kwa sababu Yehova hayuko pamoja nanyi; mtashindwa na maadui wenu.+ 43 Kwa maana Waamaleki na Wakanaani watakabiliana nanyi huko,+ nao watawaangamiza kwa upanga. Kwa sababu mliacha kumfuata Yehova, Yehova hatakuwa pamoja nanyi.”+

44 Hata hivyo, kwa kimbelembele wakapanda kuelekea mlimani,+ lakini sanduku la agano la Yehova lilibaki katikati ya kambi, na Musa pia alibaki.+ 45 Ndipo Waamaleki na Wakanaani walioishi kwenye mlima huo wakashuka na kuanza kuwashambulia, wakawatawanya mpaka Horma.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki